WAZIRI MKUU AFUNGA MKUTANO WA SADCOPAC

April 18, 2024




Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na viongozi alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Abeid Aman Karume Zanzibar ambako atafunga Mkutano wa Kujenga Uelewa wa Pamoja na Ufanyaji wa Kazi wa Taasisi za Ukaguzi na Mabunge (SADCOPAC) kwenye hoteli ya Goilden Tulip, Aprili 18, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipofunga Mkutano wa Kujenga Uelewa wa Pamoja na Ufanyaji wa Kazi wa Taasisi za Ukaguzi na Mabunge (SADCOPAC) kwenye hoteli ya Goilden Tulip, Zanzibar, Aprili 18, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa Kujenga Uelewa wa Pamoja na Ufanyaji wa Kazi wa Taasisi za Ukaguzi na Mabunge (SADCOPAC) wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipofunga mkutano huo kwenye hotel ya Golden Tulip Zanzibar, Aprili 18, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »