RAIS DKT SAMIA SULUH APOKELEWA NA MWENYEJI WAKE RAIS WA UTURUKI MHE RECEP TAYYIP ERDOGAN,IKULU YA KULLIYE ANKARA NCHINI UTURUKI

April 18, 2024
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwenyeji wake Rais wa Uturuki Mhe. Recep Tayyip Erdogan mara baada ya kuwasili katika Ikulu ya KulliyeAnkara nchini Uturuki tarehe 18 Aprili, 2024. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama pamoja na Mwenyeji wake Rais wa Uturuki Mhe. Recep Tayyip Erdoganwakati wa Wimbo wa Taifa wa Tanzania ukiimbwa mara baada ya kuwasili katika Viwanja vya Ikulu ya KulliyeAnkara nchini Uturuki tarehe 18 Aprili, 2024. 

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikagua Gwaride la Heshima mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Ikulu ya KulliyeAnkara nchini Uturuki tarehe 18 Aprili, 2024. Kushoto ni Mwenyeji wake Rais wa Uturuki Mhe. Recep Tayyip Erdogan

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Mwenyeji wake Rais wa Uturuki Mhe. Recep Tayyip Erdogan kabla ya kuanza mazungumzo katika Ikulu ya KulliyeAnkara nchini Uturuki tarehe 18 Aprili, 2024. 












Share this

Related Posts

Previous
Next Post »