RAIS DKT SAMIA SULUHU AMUAPISHA KATIBU TAWALA WA MKOA WA IRINGA IKULU CHAMWINO LEO

February 02, 2024

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Ndugu Doris Ntuli Kalasa kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Iringa, kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino tarehe 2 Februari, 2024 .
Ndugu Doris Ntuli Kalasa akila kiapo cha  kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Iringa, kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino tarehe 2 Februari, 2024 .




Share this

Related Posts

Previous
Next Post »