RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE AZINDUA UJENZI WA HOTELI YA JAZ ARORA MICHAMVI ZANZIBAR

January 11, 2024




Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete kulia akikunjuwa Kitambaa kuashiria Uwekaji wa Jiwe la Msingi Uzinduzi wa Ujenzi wa Hoteli ya JAZ ARORA Michamvi Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja.Ikiwa ni Shamra shamra za maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar.



Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza jambo wakati akitembelea moja kati ya Vyumba vya Hoteli ya Jaz Arora katika hafla ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi Uzinduzi wa Ujenzi wa Hoteli hio Michamvi Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja.Ikiwa ni Shamra shamra za maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar.


- Advertisement -


Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Hoteli ya Jaz Arora Diego Torrado wakati akitembelea moja kati ya Vyumba vya Hoteli katika hafla ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi Uzinduzi wa Ujenzi wa Hoteli hio Michamvi Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja.Ikiwa ni Shamra shamra za maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar.



Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Viongozi mbalimbali akitembelea baadhi ya Sehemu za Hoteli ya Jaz Arora katika hafla ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi Uzinduzi wa Ujenzi wa Hoteli hio Michamvi Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja.Ikiwa ni Shamra shamra za maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar.



Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Viongozi mbalimbali akitembelea baadhi ya Sehemu za Hoteli ya Jaz Arora katika hafla ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi Uzinduzi wa Ujenzi wa Hoteli hio Michamvi Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja.Ikiwa ni Shamra shamra za maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar.



Baadhi ya Wageni waalikwa waliohudhuria katika hafla ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi Uzinduzi wa Ujenzi wa Hoteli hio Michamvi Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja.Ikiwa ni Shamra shamra za maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar.



Muwekezaji wa Hoteli ya Jaz Arora Tawfiq El Kady akitoa maelezo ya Mradi katika hafla ya Uzinduzi wa Ujenzi wa Hoteli hio Michamvi Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja.Ikiwa ni Shamra shamra za maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar.



Mkurugenzi wa Mtendaji wa ZIPA Sharif Ali Sharif akitoa maelezo ya kitaalamu katika hafla ya Uzinduzi wa Ujenzi wa Hoteli hio Michamvi Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja.Ikiwa ni Shamra shamra za maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar.



Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete akisisitiza jambo wakati akitoa hotuba ya Uzinduzi wa Ujenzi wa Hoteli ya Jaz Arora Michamvi Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja.Ikiwa ni Shamra shamra za maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar.


Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hotuba ya Uzinduzi wa Ujenzi wa Hoteli ya Jaz Arora Michamvi Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja.Ikiwa ni Shamra shamra za maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar.

PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR


Share this

Related Posts

Previous
Next Post »