MAKAMU WA RAIS DKT. PHILIP MPANGO AKAGUA VIWANDA MKOANI NJOMBE

October 26, 2023









Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Mkurugenzi wa Kiwanda cha Uchambuzi na Ufungashaji Parachichi cha AvoAfrica Bw. Nagib Karmali wakati alipowasili katika Kiwanda hicho kilichopo Makambako mkoani Njombe. (tarehe 26 Oktoba 2023)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akitembelea na kukagua shughuli mbalimbali zinazofanywa katika kiwanda cha Uchambuzi na Ufungashaji Parachichi cha AvoAfrica kilichopo Makambako mkoani Njombe. (tarehe 26 Oktoba 2023)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisikiliza maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Kiwanda cha Uchambuzi na Ufungashaji Parachichi cha AvoAfrica Bw. Nagib Karmali wakati akitembelea na kukagua kiwanda hicho kilichopo Makambako mkoani Njombe. (tarehe 26 Oktoba 2023)

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na kaimu mkurugenzi wa Kiwanda cha Tanganyika Wattle (TANWAT) Bw. Hemasundar Raju wakati alipowasili katika Kiwanda hicho cha uchakataji wa bidhaa za mbao kilichopo Kibena mkoani Njombe. (tarehe 26 Oktoba 2023)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akitembelea na kukagua shughuli mbalimbali zinazofanywa katika kiwanda cha uchakataji wa bidhaa za mbao cha Tanganyika Wattle (TANWAT) kilichopo Kibena mkoani Njombe. (tarehe 26 Oktoba 2023)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisikiliza maelezo kutoka kwa kaimu mkurugenzi wa Kiwanda cha Tanganyika Wattle (TANWAT) Bw. Hemasundar Raju wakati akitembelea na kukagua shughuli mbalimbali zinazofanywa katika kiwanda hicho cha uchakataji wa bidhaa za mbao kilichopo Kibena mkoani Njombe. (tarehe 26 Oktoba 2023)

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akizungumza na wafanyakazi wa kiwanda cha uchakataji wa bidhaa za mbao cha TANWAT mara baada ya kutembelea na kukagua shughuli mbalimbali zinazofanywa katika kiwanda hicho kilichopo Kibena mkoani Njombe. (tarehe 26 Oktoba 2023)

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »