RAIS DKT. SAMIA AHITIMISHA ZIARA YA KIKAZI MKOANI MTWARA

September 18, 2023

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Kanali Ahmed Abbas Ahmed mara baada ya kuhitimisha ziara yake kwa kuwahutubia wananchi wa Masasi Mkoani Mtwara tarehe 17 Septemba, 2023.


Share this

Related Posts

Previous
Next Post »