WAZIRI MKUU AFUNGUA KIKAO CHA MAWAZIRI, WAKUU WA TAASISI

April 30, 2018

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akifungua Kikao cha Kazi cha Mawaziri, Naibu Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Makatibu Wakuu, Wakuu wa Taasisi na Viongozi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa, kilichofanyika kwenye ukumbi wa Hazina jijini Dodoma Aprili 29, 2018.

Picha na Ofisi ya Waziri Mku

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »