Rais Mhe.Dkt John Pombe Magufuli
akisalimiana na Mkuu wa MKoa wa Mwanza John Mongella mara baada ya
kuwasili katika uwanja wa ndege wa Mwanza akitokea Nchini Uganda
alipohudhuria mkutano wa 19 wa wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika
Mashariki.
Rais Mhe.Dkt John Pombe Magufuli
akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) MKoa wa Mwanza
ndugu Anthony Dialo mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa
Mwanza akitokea Nchini Uganda alipohudhuria mkutano wa 19 wa wakuu wa
Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Rais Mhe.Dkt John Pombe Magufuli
akisalimiana na Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi
(UVCCM) Taifa ndugu Kheri Jamesn mara baada ya kuwasili katika uwanja
wa ndege wa Mwanza akitokea Nchini Uganda alipohudhuria mkutano wa 19 wa
wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Rais Mhe.Dkt John Pombe Magufuli
akisalimiana na Naibu Waziri wa Ardhi ,Nyumba na Maendeleo ya Makazi
Mhe.Angelina Mabula mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa
Mwanza akitokea Nchini Uganda alipohudhuria mkutano wa 19 wa wakuu wa
Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Rais Mhe.Dkt John Pombe Magufuli
akitazama ngoma mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Mwanza
akitokea Nchini Uganda alipohudhuria mkutano wa 19 wa wakuu wa Nchi wa
Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Rais Mhe.Dkt John Pombe Magufuli
akizungumza na baadhi ya Viongozi na Wafanyakazi wa uwanja wa ndege wa
MKoa wa Mwanza mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Mwanza
akitokea Nchini Uganda alipohudhuria mkutano wa 19 wa wakuu wa Nchi wa
Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Rais Mhe.Dkt John Pombe Magufuli
akiwa katika picha ya pamoja na Naibu Waziri wa Ardhi,nyumba na
Maendeleo ya Makazi Angelina Mabula,Mkuu wa MKoa wa Mwanza John Mongella
na wacheza ngoma waliofika kumlaki uwanjani hapo mara baada ya kuwasili
katika uwanja wa ndege wa Mwanza akitokea Nchini Uganda alipohudhuria
mkutano wa 19 wa wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.
PICHA NA IKULU.