Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John
Pombe Magufuli akiondoka katika uwanja wa ndege wa Entebe mara baada
ya kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki
EAC ambao ulimalizika hapo jana jijini Kampala nchini Uganda.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na viongozi mbalimbali wa Kiserikali
na Kijeshi kutoka Uganda kabla ya kurejea nchini. PICHA NA IKULU