RAIS WA ZANZIBAR DKT SHEIN AWASILI UMOJA WA NCHI ZA FALME ZA KIARABU KUANZA ZIARA YAKE

January 21, 2018
????????????????????????????????????
RAIS wa Zanzibar  na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na  Kiongozi wa Ngazi za Juu wa  nchi za Umoja wa  nchi za Falme za  Kiarabu( UAE) Dr. Ahmad bin Abdallah Humaid Belhoul Al Falasi,  alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Al Majlis Dubai, kuaza ziara yake ya wiki moja kulia ni Balozi wa Tanzania Katika Nchi za Umoja wa Falme za Nchi za Kiarabu, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk 
????????????????????????????????????
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Dk Ali Mohamed Shein, akizungumza na Kiongozi wa Ngazi za Juu wa  nchi za Umoja wa  nchi za Falme za  Kiarabu( UAE) Dr. Ahmad bin Abdallah Humaid Belhoul Al Falasi, baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Al Majlis Dubai kuaza ziara yake ya Wiki moja.(Picha na Ikulu)
????????????????????????????????????
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akizungumza na Mke wa Balozi wa Tanzania katika Nchi za Umoja wa Falme za Nchi za Kiarabu, alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Al Majlis Dubai.(Picha na Ikulu)
????????????????????????????????????
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Kiongozi wa ngazi za Juu wa Umoja wa Nchi za Falme za Kiarabu Dr. Ahmad bin Abdallah Humaid Belhoul Al Falasi,alipowasili katika Uwanja waNdege wa  Kimataifa wa Al Majlis Dubai kuaza ziara yake ya Kiserikali ya Wiki moja. kushoto Balozi wa Tanzania katika Nchi za Umoja wa Falme za Nchi za Kiarabu (UAE) Mbarouk Nassor Mbarouk(Picha na Ikulu)
????????????????????????????????????
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Kiongozi wa Juu wa Umoja wa Nchi za Falme za Nchi za Kiarabu (UAE) Dr. Ahmad bin Abdallah Humaid Belhoul Al Falasi,  alipowaili katka Uwanja waNdege wa Kimataifa wa Al Maljis Dubai kuaza ziara yake ya Wiki moja, kushoto Waziri wa Fedha na Mipango wa Zanzibar Dkt. Khalid Salum Mohammed.(Picha na Ikulu)
????????????????????????????????????
????????????????????????????????????
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa katika picha ya pamoja na Kiongozi wa Juu wa Umoja wa Nchi za Falme za Kiarabu Dr. Ahmad bin Abdallah Humaid Belhoul Al Falasi, alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Al Majlis Dubai.(Picha na Ikulu)
????????????????????????????????????

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »