SERIKALI YATANGAZA KAMATI YA KITAIFA YA KUANDAA URITHI WA TANZANIA

December 08, 2017
Serikali kupitia Waziri wa Maliasili na Utalii Dk.Hamisi Kigwangalla ameunda Kamati ya Kitaifa ya kuandaa mwezi maalum wa maadhimisho ya urithi wa Tanzania ambapo kamati hiyo itajumuisha viongozi mbalimbali waandamizi wakiwemo wakuu wa Mikoa, Mawaziri, Wakurugenzi na wakuu wengine wa Idara za Serikali na mashirika binafsi.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »