RaIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akiwasili katika Uwanja wa
Ndege wa Dodoma na kusalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Kondoa Mhe Sezaria
Makota, kwa ajili ya kuhudhuria Sherehe za Miaka 56 ya Uhuru wa Tanzania
Bara zitakazofanyika katika uwanja wa Jamuhuri leo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Katibu Mkuu
wa UVCCM Shaka Hamdu Shaka alipowasili Uwanja wa Ndege wa Dodoma
kuhudhuria sherehe za Uhuru wa Tanzania Bara zinazofanyika katika Uwanja
wa Jamuhuri
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Wakuu wa
Vyombo vya Ulinzi na Usalama Mkoani Dodoma alipowasili katika uwanja wa
ndege kwa ajili ya kuhudhuria sherehe za Uhuru wa Tanzania Bara kesho
katika viwanja vya Jamuhuri Dodoma.
Picha na Othman Maulid