Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Binilith Satano Mahenge
alipowasili Ikulu ya Chamwino mjini Dodoma leo Novemba 7, 2017 tayari
kwa shuguli mbalimbali za kikazi.
PICHA NA IKULU.