Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP
Simon Sirro wa kwanza kushoto akisalimiana na viongozi wa Kamati ya
Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Kigoma baada ya kumaliza kikao katika
ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kigoma katika ziara yake ya kikazi mkoani humo.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP
Simon Sirro wa kwanza kushoto akiwa na Askari wa kikosi cha kupambana
na uhalifu katika mazoezi ya viungo mkoani Kigoma (CRT) wakati wa ziara
yake ya kikazi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP
Simon Sirro (katikati) na kushoto kwake ni Kamandn cbja wa Polisi Mkoa
wa Kigoma ACP Martin L. Otieno wakiwa katika picha ya pamoja na Askari
wa kikosi cha kupambana na uhalifu mkoani Kigoma baada ya kumaliza
kukagua mazoezi ya ukakamavu.
Picha na Jeshi la Polisi.