Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini
IGP Simon Sirro (katikati) akikagua maandalizi ya JWTZ Kikosi cha 673
katika harakati za maandalizi ya kuamia mkoani Dodoma na alietangulia
mwenye nguo nyeusi CEO Meltus Franci akimuonyesha IGP maeneo mbali
mbali ya kikosi hicho. Picha na Jeshi la Polisi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini
IGP Simon Sirro kushoto akiwa na mwenyeji wake CEO Meltus Franci,
akikagua ujenzi wa gharama nafuu katika Kikosi 673 ili kuupata ujuzi
huo kutoka JWTZ na Jeshi la Polisi watumie ili kupunguza gharama za
Nyumba za Askari mkoani Dodoma katika harakati za kuamia mkoani humo.
Picha na Jeshi la Polisi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini
IGP Simon Sirro kushoto akiwa na mwenyeji wake CEO Meltus Franci,
akikagua ujenzi wa gharama nafuu katika Kikosi 673 ili kuupata ujuzi
huo kutoka JWTZ na Jeshi la Polisi watumie ili kupunguza gharama za
Nyumba za Askari mkoani Dodoma katika harakati za kuamia mkoani humo.
Picha na Jeshi la Polisi.