Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiangalia ubora wa kiatu cha Mrakibu
Msaidizi wa Magereza Melkior Komba, Katika Ikulu ya Chamwino mkoani
Dodoma. Viatu hivyo vimetengenezwa na kiwanda cha Jeshi la Magereza
Karanga kilichopo Moshi Mkoani Kilimanjaro.
PICHA NA IKULU