Tigo yatoa zawadi kwa washindi wa nunua simu na ushinde na kuahidi makubwa siku zijazo

November 03, 2017
Meneja Mawasiliano wa Tigo, Woinde Shisael (kushoto) akikabidhi zawadi ya pikipiki kwa Yakobo Lucas ambaye alikuwa mojawapo wa washindi wa zawadi za pikipiki na televisheni za LED katika promosheni iliyokwisha ya 'Tigo Nunua Simu na Ushinde'. Jumla ya pikipiki 20 na TV 20 zilitolewa katika promosheni hiyo.


Meneja Mawasiliano wa Tigo, Woinde Shisael (kushoto) akikabidhi zawadi ya televisheni ya LED kwa Farida Rajab  ambaye alikuwa mojawapo wa washindi wa zawadi za pikipiki na televisheni za LED katika promosheni iliyokwisha ya 'Tigo Nunua Simu na Ushinde'. Jumla ya pikipiki 20 na TV 20 zilitolewa katika promosheni hiyo.

Meneja Mawasiliano wa Tigo, Woinde Shisael (kushoto) akikabidhi zawadi ya televisheni ya LED kwa Salum Yahawa  ambaye alikuwa mojawapo wa washindi wa zawadi za pikipiki na televisheni za LED katika promosheni iliyokwisha ya 'Tigo Nunua Simu na Ushinde'. Jumla ya pikipiki 20 na TV 20 zilitolewa katika promosheni hiyo.


Meneja Mawasiliano wa Tigo, Woinde Shisael (kushoto) akikabidhi zawadi ya pikipiki kwa Yakobo Lucas ambaye alikuwa mojawapo wa washindi wa zawadi za pikipiki na televisheni za LED katika promosheni iliyokwisha ya 'Tigo Nunua Simu na Ushinde'. Jumla ya pikipiki 20 na TV 20 zilitolewa katika promosheni hiyo.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »