SHAMBA LINAUZWA LIPO MKURANGA MKOANI PWANI

November 27, 2017

Mmiliki wa shamba hilo, akiwa amekanyaga bicon za mipaka ya shamba hilo.

Mmiliki wa shamba hilo akionesha bicon zilizopo katika shamba hilo.

SHAMBA LINAUZWA LIPO WILAYANI MKURANGA MKOANI PWANI KIJIJI CHA KIBUYUNI LIPO JIRANI KABISA NA SHULE YA SEKONDARY YA PANZUO. NAULI YA KWENDA KATIKA SHAMBA HILO KWA DALADALA NI SHILINGI, 3,000.

UMBALI KUTOKA KARIAKOO KWENDA KATIKA SHAMBA HILO NI KILOMITA 60 NA BEI KWA KILA HEKARI NI SH.2,999,999 KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA NAMBA HIZO HAPO ZA ZAIN NAMBA 0687347676

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »