Ben Pol awaamsha Wabunge vitini kwenye Tamasha la Tigo Fiesta Dodoma

November 05, 2017

Wabunge wa bunge la Tanzania wakicheza pamoja na msanii Ben Pol(mwenye shati nyeupe) kwenye Tamasha kubwa la Tigo Fiesta lililofanyika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma usiku wa kuamkia jana.
Msanii Ben Pol akipongezwa na Naibu Waziri wa Kazi, Vijana na Ajira, Antony Mavunde kwenye jukwaa la Tamasha la Tigo Fiesta lililofanyika usiku wa kuamkia jana uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.
Msanii Mimi Mars mdogo wa Vanessa Mdee akifanya yake kwenye Tamasha la Tigo Fiesta lililofanyika usiku wa kuamkia jana uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.




Msanii Vanessa Mdee akitoa burudani kwenye Tamasha la Tigo Fiesta lililofanyika usiku wa kuamkia jana, uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.



Darassa akitoa burudani kwa maelfu ya wakazi wa Dodoma mapema usiku wa ijumaa

JUX  akitoa burudani kwenye Tamasha la Tigo Fiesta lililofanyika usiku wa kuamkia jana, uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.

Msanii mkongwe Alli Kiba akiwapa burudani mashabiki wake waliofurika kwenye Tamasha la Tigo Fiesta lililofanyika usiku wa kuamkia jana uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.


Share this

Related Posts

Previous
Next Post »