Waziri wa Maliasili na Utalii Dk.Kigwangalla atembelea Ngorongoro

October 25, 2017

Waziri wa Maliasili na Utalii  Dkt. Hamisi Kigwangalla amefanya ziara maalum  kukagua masuala mbalimbali ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro  sambamba na kuzungumza na viongozi wa Mamlaka hiyo kwenye eneo la makao makuu yake yaliyopo ndani ya hifadhi.
Katika ziara hiyo, Waziri Dkt. Kigwangalla ameweza kupokea kupokea maoni na masuala mengine ya kuendeleza  Mamlaka hiyo ya Ngorongoro.
Waziri yupo Ngorongoro kwa muda wa siku mbili ambapo pia amepata kutembelea maeneo ya hifadhi yenye migogoro na wafugaji.
Waziri wa Maliasili na Utalii  Dkt. Hamisi Kigwangalla  akipokelewa na viongozi wa Ngorongoro wakati alipowasili kwenye makao makuu ya hifadhi ya Ngorongoro leo Oktoba 25,2017
Waziri wa Maliasili na Utalii  Dkt. Hamisi Kigwangalla  akisaini kitabu cha wageni wakati alipowasili kwenye makao makuu ya hifadhi ya Ngorongoro leo Oktoba 25,2017
Waziri wa Maliasili na Utalii  Dkt. Hamisi Kigwangalla  akipata maelezo kutoka kwa viongozi wa hifadhi hiyo wakati alipowasili kwenye makao makuu ya hifadhi ya Ngorongoro leo Oktoba 25,2017
Waziri wa Maliasili na Utalii  Dkt. Hamisi Kigwangalla  akipata maelezo kutoka kwa mhifadhi wa  Ngorongoro wakati alipowasili kwenye makao makuu ya hifadhi ya Ngorongoro leo Oktoba 25,2017
Waziri wa Maliasili na Utalii  Dkt. Hamisi Kigwangalla  akisikiliza maoni kutoka kwa viongozi wa hifadhi ya Ngorongoro wakati alipowasili kwenye makao makuu ya hifadhi ya Ngorongoro leo Oktoba 25,2017
Mhifadhi Mkuu wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro,Freddy Manongi akizungumza wakati wa kumkaribisha Waziri wa Maliasili Dkt.Kigwangalla alipowasili hapo mapema leo kwa ajili ya kupata maelezo na ya kina namna ya uendeshaji na masuala mbalimbali.





--

Andrew Chale

Blogger Personality | Journalist | Activist | Online Editor dewjiblog | Comedian |Volunteer Red Cross | Sauti za Busara & ZIFF Festivals 2007 to present.

           chalefamily@yahoo.com

Telephone: +255222122830 Fax: +255222126833
Golden Jubilee Towers, Ohio Street,20th Floor
Po Box 20660, Dar es Salaam,Tanzania

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »