WAZIRI MPINA AANZA KAZI WIZARA MPYA YA MIFUGO NA UVUVI

October 10, 2017


Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina akiweka sahini katika kitabu cha wageni cha Wizara hiyo mara maaba ya kuripoti.

Naibu Waziri wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdalah Ulega Akimsikiliza Waziri wa Wizara hiyo Mpya Mhe. Luhaga Joelson Mpina hayupo katika picha mara baada ya Mawaziri hao kuripoti katika Wizara hiyo katika Ofisi za Dar es Salaam.


Katika picha sehemu ya baadhi ya watumishi wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi wakifurahia jambo mara baada ya kuwapokea Mawaziri waliopewa dhamana ya wizara hiyo mpya, hawapo katika picha.

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina akiongea na baadhi ya watumishi wa Wizara hiyo hawapo katika picha, katika Ofisi a Dar es Salaam mara baada ya kuripoti, katikati ni Naibu Waziri wa Wizara hiyo Mhe. Abdalah Ulega kulia  ni Dkt. Yohana Budeba katibu Mkuu wa Wizara hiyo upande wa Uvuvi.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »