Kuna tatizo la Umeme Jiji lote l Tanga pamoja na eneo la Mabayani na Mowe tangu saa 10:10
alfajiri ,hivyo pampu za kusukuma maji zimesimma na hakutakuwa na maji hadi
umeme utakaporejea.
Shirika la Tanesco wanaendelea kushughulikia utatuzi wa
tatizo hilo na Mtambo utaanza kufanya kazi umeme utakaporejea.
Huduma ya Maji itaimarika kwa awamu baada ya mtambo
kuanza kufanya kazi hivyo tunaomba radhi kwa usumbufu unaoweza kujitokeza.
Imetolewa na Ofisi ya Mkurugenzi Kitengo cha Uhusiano
Tanga UWASA.
EmoticonEmoticon