Nivo afunguka ya moyoni kuhusu wasanii wachanga

October 12, 2017
Msanii chipukizi kwenye muziki wa Bongo fleva, Vicent Petro ambaye kwa jina la sanaa anatambulika kama ‘Nivo’ aliyewahi kuachia ngoma yake moja ambayo inaitwa ‘Idea’ amefungukia yake kutoka moyoni kuhusu wasanii  Wachanga,  kutokana na jinsi ambavyo huwawanakosea mashariti  katika Muziki ikiwa ni pamoja na utovu wa nidhamu.

Nivo akiwa kwenye interview  Super News TV katika kipindi kizuri cha ‘New Talents Tanzania’ kinacho wapa fursa wasanii wachanga kuonyesha uwezo wa vipaji vyao, Nivo alifafanua pia baadhi ya mambo yanayo wakabili wasanii wachanga kiasi kwamba Muziki wao unashindwa kukua na kuweza kutimiza malengo yao.  Tumia dakika zako kadhaa kutazama Mahojiano yake hapa.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »