MAELFU YA WAKAZI WA IRINGA WAJITOKEZA USIKU WA TAMASHA LA TIGO FIESTA WIKIENDI

October 11, 2017
Wasanii wa kundi la Rostam, Roma na Stamina wakiimba kwenye tamasha la Tigo Fiesta usiku wa kuamkia jumatatu lililofanyika uwanja wa Samora mjini Iringa


Aslay akiimba na mashabiki kwenye tamasha la Tigo Fiesta usiku wa kuamkia jumatatu lililofanyika uwanja wa Samora mjini Iringa

Joh Makini akitumbuiza maelfu ya wakazi wa Mkoa wa Iringa


Jux akiburudisha wakazi wa Mkoa wa Iringa 


MauaSama akitumbuiza katika jukwaa la TIgo Fiesta 





Nandy akiimba kwa hisia katika jukwaa la Tigo Fiesta mkoani Iringa mapema jumapili iliyopita.


Ommy Dimpoz akitumbuiza wakazi wa Iringa.





Vanessa Mdee akitoa burudani na madansa wake katika jukwaa la Tigo  Fiesta viwanja vya Samora Mkoani Iringa.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »