ASASI YA TREE OF HOPE YAENDESHA MDAHALO WA WADAU WA ELIMU HANDENI

October 19, 2017
 Mratibu wa Mradi wa kuhamasisha Uwajibikaji wa Jamii na Mamlaka zinazohusika katika kuboresha huduma za elimu katika Jamii ambao unatekelezwa na Asasi ya Tree of Hope chini ya Ufadhili wa Shirika la Foundation for Civili Society,Goodluck Malilo akisisitiza jambo kwenye mdahalo wa wadau wa Elimu Kijiji cha Michungwani na Kwedizinga wilayani Handeni Mkoani Tanga
 Mratibu wa Mradi wa kuhamasisha Uwajibikaji wa Jamii na Mamlaka zinazohusika katika kuboresha huduma za elimu katika Jamii ambao unatekelezwa na Asasi ya Tree of Hope chini ya Ufadhili wa Shirika la Foundation for Civili Society,Goodluck Malilo akisisitiza jambo kwenye mdahalo wa wadau wa Elimu Kijiji cha Michungwani na Kwedizinga wilayani Handeni Mkoani Tanga
 Mwanasheria na Wakili Richard Vicent akisisitiza jambo kwenye mdahalo huo uliohusidha viongozi mbalimbali na walimu Kijiji cha Michungwani na Kwedizinga wilayani Handeni mkoani Tanga
 Afisa Mradi huo,Abdul Kihange akisisitiza jambo wakati wa mdahalo huo
 Diwani wa Kata ya Segera (CCM) wilayani Handeni,Yassin Tamimu  akizungumza katika mdahalo huo
 Afisa Mradi huo,Abdul Kihange akigawa makabrasha kwa washiriki wa mdahalokuhamasisha Uwajibikaji wa Jamii na Mamlaka zinazohusika katika kuboresha huduma za elimu katika Jamii ambao unatekelezwa na Asasi ya Tree of Hope chini ya Ufadhili wa Shirika la Foundation for Civili Society,Goodluck Malilo akisisitiza jambo kwenye mdahalo wa wadau wa Elimu Kijiji cha Michungwani na Kwedizinga wilayani Handeni Mkoani Tanga
 Sehemu ya washiriki katika mdahalo huo wakiufuatilia
 Sehemu ya washiriki katika mdahalo huo wakiufuatilia
 Sehemu ya washiriki katika mdahalo huo wakiufuatilia
Baadhi ya washiriki wakipiga picha ya pamoja mara baada ya kumalizika kwa mdahalo huo

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »