MD KAYOMBO AKAGUA UKARABATI WA BARABARA YA SIMU 2000

March 19, 2017

Trekta ambalo linafanya kazi ya kukarabari barabara ya Simu 2000
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Ndg John Lipesi Kayombo akikagua barabara ya simu 2000 ambayo ipo kwenye matengenezo ya dharura
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Ndg John Lipesi Kayombo akielekeza jambo kuhusu ukarabati wa barabara hiyo, Wengine ni Meneja wa stendi ya Simu 2000 Bakari Shehoza na Injinia wa Ujenzi katika Manispaa ya Ubungo Ndg Goodluck Mbanga
MD Ubungo Ndg John Lipesi Kayombo akisisitiza jambo

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »