Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi
Evarest Ndikilo baada ya kuwasili kwenye eneo inapojenjwa Mahakama ya
Hakimu Mkazi wa Pwani na Mahakama ya Wilaya ya Kibaha kuzindua Mpango
Mkakati na Mradi wa Maboresho ya Huduma za Mahakama ya Tanzania
Septemba 21, 2016.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed
Chande Othman baada ya kuwasili kwenye eneo inapojenjwa Mahakama ya
Hakimu Mkazi wa Pwani na Mahakama ya Wilaya ya Kibaha kuzindua Mpango
Mkakati na Mradi wa Maboresho ya Huduma za Mahakama ya Tanzania
Septemba 21, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Naibu Spika wa Bunge Dkt, Tulia Ackson baada
ya kuwasili kwenye eneo inapojenjwa Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Pwani
na Mahakama ya Wilaya ya Kibaha kuzindua Mpango Mkakati na Mradi wa
Maboresho ya Huduma za Mahakama ya Tanzania Septemba 21, 2016.
Mkuu
wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarest Ndikilo akizungumza katika
uzinduzi Mpango Mkakati na Mradi wa Maboresho ya Huduma za Mahakama ya
Tanzania ulifanywa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa mjini Kibaha
Septemba 21, 2016.
Naibu
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji akizungumza katika
uzinduzi Mpango Mkakati na Mradi wa Maboresho ya Huduma za Mahakama ya
Tanzania ulifanywa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa mjini Kibaha
Septemba 21, 2016.
Mkurugenzi
wa Benki ya Dunia katika nchi za Tanzania, Burundi, Malawi na Somalia,
Bella Bird akizungumza katika uzinduzi Mpango Mkakati na Mradi wa
Maboresho ya Huduma za Mahakama ya Tanzania ulifanywa na Waziri Mkuu,
Kassim Majaliwa mjini Kibaha Septemba 21, 2016.
Jaji
Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman akizungumza katika uzinduzi
katika uzinduzi Mpango Mkakati na Mradi wa Maboresho ya Huduma za
Mahakama ya Tanzania ulifanywa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa mjini
Kibaha Septemba 21, 2016.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisaidiwa na Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed
Chande Othaman kukata utepe wakati alipozindua Mpango Mkakati na Mradi
wa Maboresho ya Huduma za Mahakama ya Tanzania mjini Kibaha, Septemba
21, 2016.
Waziri
Mkuu Kassim Majaliwa akimkabidhi Mkurugenzi wa Benki ya Dunia wa Nchi
za Tanzania, Burundi, Malawi na Somalia, Bella Bird kitabu cha Mradi wa
Maboresho ya Huduma za Mahakama ya Tanzania baada ya kuuzindua mjini
Kibaha Septemba 21, 2016. Kushoto ni Jaji Mkuu wa Tanzania Mohamed
Chande Othman na kulia ni Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipozindua Mpango Mkakati na
Mradi wa Maboresho ya Huduma za Mahakama ya Tanzania ulifanywa na
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa mjini Kibaha Septemba 21, 2016.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akiweka jiwe la Msingi la jengo la Mahakama ya
Hakimu Mkazi Pwani na Mahakama ya Wilaya ya Kibaha Sptemba 21, 2016.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na viongozi
mbalimbali waliohudhuria katika uzinduzi wa Mpango Mkakati na Mradi wa
Maboresho ya Huduma za Mahakama ya Tanzania ulifanywa na Waziri Mkuu,
Kassim Majaliwa mjini Kibaha Septemba 21, 2016.
Waziri
Mkuu, Kasim Majaliwa akiondoka baada ya kuweka jiwe la msingi la jengo
la Hakimu Mkazi Mahakama ya Pwani na Mahakama ya wilaya ya Kibaha
Septemba 21, 2016. Kushoto kwake ni Jaji Mkuu wa Tanzania Mohamed Chande
Othman na kulia kwake ni Mkurugenzi wa Benki ya Dunia wa nchi za
Tanzania, Burundi, Malawi na Somalia, Bella Bird.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mkurugenzi wa Benki ya Dunia wa
nchi za Tanzania, Burundi, Malawi na Somalia, Bella Bird (kulia kwake)
na Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman (kulia) baada ya kuweka
jiwe la msingi la jengo la Hakimu Mkazi Mahakama ya Pwani na Mahakama ya
wilaya ya Kibaha Septemba 21,2016. Wapili kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa
Pwani, Mhandisi Evarest Ndikilo.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
EmoticonEmoticon