RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKABIDHIWA MADAWATI YA AWAMU YA KWANZA YALIYOTENGENEZWA NA JESHI LA MAGEREZA NA JKT KUTOKANA NA FEDHA ZILIZOTOLEWA NA BUNGE BAADA YA KUBANA MATUMIZI JULAY 13,2016

July 13, 2016

wncjjvmkmvRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Kamati ndogo ya Tume ya huduma za Bunge inayoshughulika utengenezaji wa madawati. Waliosimama mbele ni Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa, Naibu Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson, Mbunge wa Ilala Mussa Azan Zungu pamoja na Waziri wa Ulinzi Dkt. Hussein Mwinyi, Julay 13,2016 (PICHA ZAIDI ZINAFATA)

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »