Tigo yafana Tamasha la Simu EXPO

June 15, 2016



 Baadhi ya Wateja wa Kampuni ya Simu Ya Tigo wakiwa katika foleni kwa ajili ya kuhakiki simu zao zoezi lililofanyika kwa ushirikiano baina ya makampuni ya simu na TCRA mapema mwisho wa wiki iliyopita katika viwanja vya Posta jijini Dar es Salaam.



 Wateja wakipata maelezo kuhusu matumizi ya simu orijno zilizokuwa zinauzwa katika Banda la Tigo mapema mwisho wa wiki iliyopita katika viwanja vya Posta Kijitonyama,jijini Dar es salaam.


  Baadhi ya watoa huduma wa Tigo wakitoa huduma kwa wateja wao wakati wa kampeni ya kuhakiki simu kama ni Bandia au Orijino mapema mwisho wa wiki iliyopita katika viwanja vya Posta jijini Dar es Salaam.


 Meneja Mauzo wa 4G kutoka Tigo Anthony Assenga akisikiliza maoni ya wateja waliotembelea banda la tigo wakati wa kampeni ya kuhakiki simu kama ni Bandia au Orijino mapema mwisho wa wiki iliyopita katika viwanja vya Posta  jijini Dar es Slaam.



Meneja Mauzo wa 4G kutoka Tigo Anthony Assenga akiongea na waandishi wa habari  (hawapo pichani) wakati wa kampeni ya kuhakiki simu kama ni Bandia au Orijino mapema mwisho wa wiki iliyopita katika viwanja vya Posta  jijini Dar es Slaam.


photo Krantz Mwantepele Founder & CEO , KONCEPT Phone: +255-712579102 /+255-767392840 Email: krantzcharles@gmail.com Blog: www.mwanaharakatimzalendo.blogspot.com Website;www.koncept.co.tz

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »