Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Mhe Jaji Mstaafu
Damian Lubuva wakimsiliza Mkurugenzi wa uchaguzi Bw. Ramadhani Kailima Kobwey wakati akitoa taarifa ya namna Tume ya Uchaguzi ilivyookoa kiasi cha shilingi Bilioni 12 zilizopangwa kutumika katika uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba mwaka 2015.
Damian Lubuva wakimsiliza Mkurugenzi wa uchaguzi Bw. Ramadhani Kailima Kobwey wakati akitoa taarifa ya namna Tume ya Uchaguzi ilivyookoa kiasi cha shilingi Bilioni 12 zilizopangwa kutumika katika uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba mwaka 2015.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akipokea
mfano wa hundi ya Bilioni 12 kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya
Uchaguzi (NEC) Mhe Jaji Mstaafu Damian Lubuva na Mkurugenzi wa uchaguzi
Bw. Kailima Ramadhani Kobwey ikiwa ni bakaa ya tume hiyo zilizopangwa
kutumika na Tume ya Uchaguzi katika uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba mwaka
2015.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiwashukuru
kwa moyo wa Uzalendo Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Mhe
Jaji Mstaafu Damian Lubuva na Mkurugenzi wa uchaguzi Bw. Kailima
Ramadhani Kobwey baada ya kupokea bakaa ya Bilioni 12 zilizopangwa
kutumika na Tume ya Uchaguzi katika uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba mwaka
2015.