Picha ya pamoja , ujumbe wa serikali ya Puntiland wakiwa na wenyeji wao TPSC,waliokaa wa tatu kutoka kushoto Waziri wa Kazi,Vijanana Michezo wa Puntiland, Abdurahman Ahmed Abdulle
na wa nne kutoka kushoto (waliokaa) Kaimu Mkuu wa chuo cha Utumishi wa
Umma (TPSC) Dkt.Henry Mambo , Ujumbe huo upo nchini kwa lengo la kupata
uzoefu katika masuala mbalimbali ya Utumishi
|