PUNTLAND WAJA NCHINI KUJINOA MASUALA YA UTUMISHI WA UMMA

June 14, 2016

Picha ya pamoja , ujumbe wa serikali ya Puntiland wakiwa na wenyeji wao TPSC,waliokaa wa tatu kutoka kushoto Waziri wa Kazi,Vijanana Michezo wa Puntiland, Abdurahman Ahmed Abdulle na wa nne kutoka kushoto (waliokaa) Kaimu Mkuu wa chuo cha Utumishi wa Umma (TPSC) Dkt.Henry Mambo , Ujumbe huo upo nchini kwa lengo la kupata uzoefu katika masuala mbalimbali ya Utumishi
Kaimu Mkuu ya wa Chuo Cha Utumishi wa Umma Tanzania(TPSC), Dkt. Henry Mambo (kushoto) akibadilishana mawazo na  Waziri wa Kazi,Vijana na Michezo wa Puntiland, Abdurahman Ahmed Abdulle kando ya kikao cha pamoja baina ya ujumbe wake na TPSC.                    

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »