MKUU WA MKOA MJINI MAGHARIBI AZINDUA MAONYESHO YA MRADI WA MJI MPYA WA ZANZIBAR

June 04, 2016

SAD1 
Katibu Mtendaji Kamisheni ya Ardhi Zanzibar Ahmed Abdulrahman Rashid akitoa maelezo juu ya Mpango Mkuu wa matumizi ya Ardhi wakati wa uzinduzi wa Maonyesho ya Mradi wa Mji mpya wa Zanzibar uliofanyika Mnara wa kumbukumbu ya Mapinduzi Kisonge Mjini Zanzibar.
SAD2 
Mwakilishi wa Ubalozi wa Uholanzi Tanzania Eugen Gies akizungumza na wananchi waliohudhuria uzinduzi wa maonyesho ya Mradi wa Ngambo tuitakayo katika viwanja vya Mnara wa kumbukumbu ya Mapinduzi Mjini Zanzibar.
SAD3Mwakilishi wa Ubalozi wa Uholanzi Tanzania Eugen Gies akizungumza na wananchi waliohudhuria uzinduzi wa maonyesho ya Mradi wa Ngambo tuitakayo katika viwanja vya Mnara wa kumbukumbu ya Mapinduzi Mjini Zanzibar.
SAD4 
Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Ayoub Mohammed Mahmoud akitoa maelezo namna Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ilivyojiandaa katika kuwapatia wananchi nyumba bora za kuishi wakati wa uzinduzi wa Mradi wa Ngambo Tuitakayo.
SAD5Mkurugenzi wa mipango Miji na Vijiji Dkt. Mouhammed Juma akimunyesha Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Ayoub Mohammed Mahmoud namna ya Mji mpya utakavyokuwa mara baada ya kukamilika kwake katika sherehe za uzinduzi zilizofanyika viwanja vya Mnara wa kumbukumbu ya Mapinduzi Mjini Zanzibar.
SAD6 
Watoto wakiangalia na kufurahia mji mpya wa Zanzibar utakavyokuwa kupitia Mradi wa Ngambo tuitakayo wakati wa uzinduzi wa maonyesho katika viwanja vya Mnara wa kumbukumbu ya Mapinduzi. Picha na Makame Mshenga /Maelezo Zanzibar.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »