Katibu
Mtendaji Kamisheni ya Ardhi Zanzibar Ahmed Abdulrahman Rashid akitoa
maelezo juu ya Mpango Mkuu wa matumizi ya Ardhi wakati wa uzinduzi wa
Maonyesho ya Mradi wa Mji mpya wa Zanzibar uliofanyika Mnara wa
kumbukumbu ya Mapinduzi Kisonge Mjini Zanzibar.
Mwakilishi
wa Ubalozi wa Uholanzi Tanzania Eugen Gies akizungumza na wananchi
waliohudhuria uzinduzi wa maonyesho ya Mradi wa Ngambo tuitakayo katika
viwanja vya Mnara wa kumbukumbu ya Mapinduzi Mjini Zanzibar.
Mwakilishi
wa Ubalozi wa Uholanzi Tanzania Eugen Gies akizungumza na wananchi
waliohudhuria uzinduzi wa maonyesho ya Mradi wa Ngambo tuitakayo katika
viwanja vya Mnara wa kumbukumbu ya Mapinduzi Mjini Zanzibar.
Mkuu
wa Mkoa Mjini Magharibi Ayoub Mohammed Mahmoud akitoa maelezo namna
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ilivyojiandaa katika kuwapatia
wananchi nyumba bora za kuishi wakati wa uzinduzi wa Mradi wa Ngambo
Tuitakayo.
Mkurugenzi
wa mipango Miji na Vijiji Dkt. Mouhammed Juma akimunyesha Mkuu wa Mkoa
Mjini Magharibi Ayoub Mohammed Mahmoud namna ya Mji mpya utakavyokuwa
mara baada ya kukamilika kwake katika sherehe za uzinduzi zilizofanyika
viwanja vya Mnara wa kumbukumbu ya Mapinduzi Mjini Zanzibar.
Watoto
wakiangalia na kufurahia mji mpya wa Zanzibar utakavyokuwa kupitia
Mradi wa Ngambo tuitakayo wakati wa uzinduzi wa maonyesho katika viwanja
vya Mnara wa kumbukumbu ya Mapinduzi. Picha na Makame Mshenga /Maelezo
Zanzibar.