Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa aondoka nchini kwenda Uingereza

May 11, 2016

MJ 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda kwenye uwanja wa ndege wa Julius  Nyerere kabla ya kuondoka kwenda London Uingereza Mai 10 , 2016, kumwakilisha Rais John Magufuli kwenye mkutano wa  Wakuu wa Nchi wa kujadili masuala ya kupambana na rushwa duniani.
(Picha n Ofisi ya Wziri Mkuu)

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »