MWENGE WA UHURU WAINGIA MKOA WA MJINI MAGHARIBI BAADA YA KUMALIZA MBIO ZAKE MKOA WA KASKAZINI

May 13, 2016

 Gari la kukimbiza Mwenge wa Uhuru 2016 likikata viunga vya Kihinani
Wilaya ya Magharibi A. Picha na Makame Mshenga/Maelezo Zanzibar.
 Mkuu wa Mkoa Kaskazini Unguja Meja Mstafu. Juma Kasim Tindwa akimkabidhi Mwenge
wa Uhuru Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Abdalla Mwinyi Khamis tayari kwa kukimbizwa katika mkoa huo.
 Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Abdalla Mwinyi Khamis akimkabidhi Mwenge
wa Uhuru Mkuu wa Wilaya ya Magharibi A, Mwinyiussi Abdalla kwa ajili ya kukimbizwa katika Wilaya yake.
 Mkuu wa Wilaya ya Magharibi A, Mwinyiussi Abdalla akiteta kitu na kiongozi
wa mbio za Mwenge 2016 George Jackson Mbijima wakati wa sherehe za makabidhia
ya Mwenge yaliyofanyika Mfenesini Wilaya ya Magharibi A.
Mmoja wa wakimbiza Mwenge wa Uhuru mwaka 2016 James Sadick Munguji akiongoza
mbio hizo katika mitaa ya Mfenesini,
Wilaya ya Magharibi A.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »