MATUKIO KATIKA PICHA WAKATI WA UWASILISHWAJI WA BAJETI YA WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO BUNGENI MJINI DODOMA.

May 13, 2016

 Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bi. Nuru Mrisho (kushoto) pamoja na Kaimu Mkurugenzi, Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bi. Zamaradi Kawawa wakiwa katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma kwa ajli ya kusikiliza Bajeti ya Wizara hiyo leo 13 Mei, 2016.
 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe Nape Nnauye (Mb) (kulia) akiwa pamoja na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah Kairuki wakiingia ndani ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma kwa ajili ya usomwaji wa Bajeti ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, 13 Mei, 2016.
 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe Nape Nnauye (Mb) (kulia) akiwa pamoja na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah Kairuki wakiwasili katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma kwa ajili ya usomwaji wa Bajeti ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, 13 Mei, 2016.
 Katibu Mkuu, Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo,Profesa Elisante Ole-Gabriel (kulia), Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Habari,
Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bi. Nuru Mrisho (katikati) pamoja na Mwakilishi wa Umoja wa Mataifa (UN) wakifuatilia uwasilishwaji wa Bajeti
ya Wizara hiyo leo 13 Mei, 2016 Bungeni mjini Dodoma.
 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe Nape Nnauye akiwasilisha Bajeti ya Wizara yake Bungeni mjini Dodoma leo 13 Mei,
2016.
 Katibu Mkuu, Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo,Profesa Elisante Ole-Gabriel (katikati), Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini wa Wizara hiyo, Bi. Zawadi Msalla (kushoto) pamoja na Katibu wa Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Bi, Anna Nkinda wakifuatilia uwasilishwaji wa Bajeti ya Wizara hiyo leo 13 Mei, 2016 Bungeni mjini Dodoma.
 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe Nape Nnauye (kushoto) pamoja na Naibu Waziri wake, Mhe. Anastazia
Wambura wakijadiliana mara baada ya kuwasilisha Bajeti ya Wizara hiyo Bungeni mjini Dodoma leo 13 Mei, 2016.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe Nape Nnauye (mwenye tai nyekundu) akiwa katika picha ya pamoja na Kundi
la Wasanii na Bloggers Bungeni mjini Dodoma 13 Mei, 2016.
 
(PICHA ZOTE NA BENEDICT LIWENGA, MAELEZO, DODOMA)

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »