Jaji
Mkuu wa Tanzania Mhe. Mohamed Chande Othman akisoma hotuba yake kabla ya
kumkaribisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Joseph Magufuli wakati wa uzinduzi wa Mwaka Mpya wa Mahakama katika
Siku ya Sheria Duniani katika uwanja wa Mahakama mtaa wa Chimala eneo la
Ocean Road jijini Dar es salaam leo Jumatano February 4, 2016.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akihutubia wakati wa uzinduzi wa Mwaka Mpya wa Mahakama katika Siku ya
Sheria Duniani katika uwanja wa Mahakama mtaa wa Chimala eneo la Ocean
Road jijini Dar es salaam leo Jumatano February 4, 2016
PICHA NA IKULU