Mlukulu
 wa Ikulu Zanzibar Ndg Ameir Ali Khatib akimkabidhi Mbuzi Sister Mary 
Gemma wa kituo cha Wazee Welezo, hafla hiyo imefanyika katika makaazi ya
 Wazee hao Welezo Zanzibar, Vyakula hivyo vimetolewa na Rais wa Jamuhuri
 ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli kwa ajili ya Wazee hao 
kujumuiika na Wananchi katika kusherehekea Sikukuu ya Krismas na Mwaka 
Mpya. 
Mlukulu
 wa Ikulu Zanzibar Ndg Ameir Ali Khatib akimkabidhi Mafuta ya Kupikia 
Sister Mary Gemma wa kituo cha Wazee Welezo, hafla hiyo imefanyika 
katika makaazi ya Wazee hao Welezo Zanzibar, Vyakula hivyo vimetolewa na
 Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli kwa 
ajili ya Wazee hao kujumuiika na Wananchi katika kusherehekea Sikukuu ya
 Krismas na Mwaka Mpya. 
Naibu 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Uwezeshaji Ustawi wa Jamii Vijana Wanawake na 
Watoto Zanzibar Ndg. Msham Abdalla akiozungumza wakati wa hafla hiyo ya 
kukabidha vyakula hivyo vilivyotolewa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa
 Tanzania Dk John Pombe Magufuli. 
Wazee 
wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu wakati wa hafla hiyo ya kukabidhiwa 
Vyakula kwa ajili ya kusherehekea Sikukuu ya Krismas na Mwaka Mpya 
vilivyotolewa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe 
Magufuli kwa Wazee hao. kuweza kushiriki kwa vizuri katika sikukuu hizo.
Viongozi
 wa Kijiji cha Wazee wa Wasiojiweza Welezo Zanzibar wakimsikiliza Naibu 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Uwezeshaji Ustawi wa JamiiVijana Wanawake na 
Watoto Ndg Msham Abdalla wakati wa hafla hiyo ya kukabidhi msaada wa 
vyakula kwa Wazee wa Welezo Zanzibar.
Msimamizi
 wa Kijiji hicho cha Wazee Welezo Zanzibar Sister Mary Gemma akitowa 
shukrani kwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa msaada huo 
umefika wakati muafa na kutowa shukrani zake kwa Nioba ya Uongozi wa 
Kituo hicho kinachohudumia Wazee wasiojiweza Zanzibar.
Mzee 
wa Kijiji cha Wazee Wasiojiweza Welezo Zanzibar Mzee Shein Kombo akitowa
 shukrani kwa niaba ya Wazee wa Kijiji hicho kwa Rais wa Jamuhuri ya 
Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli kwa msaada wake kwa 
Kuwakumbuka na kumtakia kazi njema katika uongozi wake na kumalizia.
Hapa Kazi Tu.
Imetayarishwa na OthmanMapara.Blogspot 
Zanzinews.com
 
 
EmoticonEmoticon