Mwenyekiti
wa TASWA Bwana Juma Pinto akimpa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete kwa
kutambua mchango wake Mkubwa katika kuendeleza michezo nchini wakati wa
hafla maalum ilioandaliwa na TASWA katika ukumbi wa Mlimani City Jijini
Dar es Salaam Oktoba 12, 2015.
Picha na Freddy Maro