SAFARI YA MATUMINI IPO BUMBULI

September 06, 2015


 Mgombea Ubunge jimbo la Bumbuli kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Devid Chanyeghea akizungumza na waandishi wa habari kuzungumzia vipaumbele vyake wakati akianza kampeni baada ya Tume ya Uchaguzi ya Taifa kumrejesha kugombea jimbo hilo baada ya kuwekewa pingamizi na mpinzani wake. Kushoto ni Katibu wa Chadema Mkoa wa Tanga, Ismail Massoud



 Mgombea Ubunge jimbo la Bumbuli kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Devid Chanyeghea, akiwaonyesha waandishi wa habari fomu ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi ambayo amedai mpinzani wake aliongeza kipengele cha maandishi cha kugonbea Udiwani na Ubunge ambacho kilipelekea kuuzuiwa kugombea na kudai kuwa yeye ni mgombea wa Ubunge tu.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »