KAMATI ZA MAAFA MKOANI DODOMA WAFANYA TATHMINI YA MPANGO WA KUJIANDAA NA KUKABILIANA NA MAAFA

September 12, 2015

 Mkuu wa Mkoa Dodoma, Luteni Mstaafu, Chiku Galawa akisisitiza jambo wakati akifungua Mkutano wa kuwasilisha Taarifa ya Tathmini ya Utekelezaji wa Mpango ya Kujiandaa na Kukabiliana na Maafa kwa Halmashauri za Chamwino, Kondoa na Mpwapwa mjini Dodoma,  tarehe 12 Septemba, 2015.
 Mjumbe wa Kamati ya Maafa wilayani Mpwampwa, Shekh, Sabah Seif akisisitiza jambo wakati wa Mkutano wa kujadili Taarifa ya Tathmini ya Utekelezaji wa Mpango ya Kujiandaa na Kukabiliana na Maafa kwa Halmashauri za Chamwino, Kondoa na Mpwapwa mjini Dodoma,  tarehe 12 Septemba, 2015.
 Wakuu wa wilya za Mkoa wa Dodoma ambao pia ni Wajumbe wa Kamati za Wilaya za Maafa wakifuatilia uwasilishaji Taarifa ya Tathmini ya Utekelezaji wa Mpango ya Kujiandaa na Kukabiliana na Maafa kwa Halmashauri za Chamwino, Kondoa na Mpwapwa mjini Dodoma,  tarehe 12 Septemba, 2015. Wakwanza ni; Shaban Kisu (Kondoa), Ramadhani Maneno (Chemba), Francis Kimoga (Bahi) na Bituni Msangi (Mpwapwa).
 Mratibu Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Charles Msangi  akisisitiza jambo wakati akiwasilisha Taarifa ya Tathmini ya Utekelezaji wa Mpango ya Kujiandaa na Kukabiliana na Maafa wa Halmashauri ya  Chamwino, wakati wa Mkutano wa kujadili  Utekelezaji wa Mpango kwa Halmashauri za Chamwino, Kondoa na Mpwapwa mjini Dodoma,  tarehe 12 Septemba, 2015.
Mkuu wa Mkoa Dodoma, Luteni. Mstaafu, Chiku Galawa (walio kaa katikati) akiwa na wajumbe wa Kamati za maafa za wilaya mkoani Dodoma mara baada kufungua Mkutano wa kuwasilisha Taarifa ya Tathmini ya Utekelezaji wa Mpango ya Kujiandaa na Kukabiliana na Maafa kwa Halmashauri za Chamwino, Kondoa na Mpwapwa , tarehe 12 Septemba, 2015.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »