BREAKIN NEWZZZ!! - AJALI YA LORI SINZA MORI SASA HIVI JIJINI DAR ES SALAAM!

September 29, 2015

Ajali ya roli imetokea Sinza Mori mida hii baada ya roli hilo kuchomoka tairi ya nyuma lakini hakuna mtu aliyepata madhara katika ajari hiyo pamoja na tairi kwenda mbali zaidi na eneo la tukio,
hata hivyo dereva wa roli hilo amesema alikuwa anaenda kubadilisha ekseli iliyochomoka.CHANZO OTHMAN MICHUZI
Roli lenye namba za usajili T 245 DEZ  limechomoka taili ya nyuma maeneo la Sinza Mori leo barabara ya Shekilango jijini Dar es Salaam.. 
 Roli likiwa barabarani ya Shekilango barabara ya Shekilango jijini Dar es Salaam.
 Hapo ndipo taili lilipochomoka wakati gari likiendelea kutembea.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »