Ajali
ya roli imetokea Sinza Mori mida hii baada ya roli hilo kuchomoka tairi
ya nyuma lakini hakuna mtu aliyepata madhara katika ajari hiyo pamoja
na tairi kwenda mbali zaidi na eneo la tukio,
hata hivyo dereva wa roli hilo amesema alikuwa anaenda kubadilisha ekseli iliyochomoka.CHANZO OTHMAN MICHUZI
hata hivyo dereva wa roli hilo amesema alikuwa anaenda kubadilisha ekseli iliyochomoka.CHANZO OTHMAN MICHUZI
Roli
lenye namba za usajili T 245 DEZ limechomoka taili ya nyuma maeneo la
Sinza Mori leo barabara ya Shekilango jijini Dar es Salaam..
Roli likiwa barabarani ya Shekilango barabara ya Shekilango jijini Dar es Salaam.
EmoticonEmoticon