Mgombea Urais KupitiaChama cha
Mapinduzi (CCM) Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Jaji Mstaafu na
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa Uchaguzi Damian Lubuva wakati wa kurejesha
Fomu za kugombea nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
mapema leo kwenye ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jijini Dar es
Salaam.
Mgombea Kupitia Chama cha
Mapinduzi Dkt. John Pombe Magufuli akipokea nyaraka mbalimbali ikiwemo
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Sheria ya Taifa ya
Uchaguzi,Maelekezo kwa wagombea wa vyama vya siasa, Maadili ya Uchaguzi
toleo la mwka 2015 na sheria na kanuni za gharama za uchaguzi kutoka kwa
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa Uchaguzi Damian Lubuva, mapema leo kwenye
ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya
Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva akijadili Jambo na Jaji Mkuu
Mstaafu wa Zanzibar na Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi
Hamid Mahmoud Hamid wakati wa urudishaji wa fomu za kugombea nafasi ya
Urais Kuelekea Katika Uchaguzi Mkuu wa Octoba 25, 2015.
Mgombea Urais kupitia chama cha
Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) akipokea nyaraka mbalimbali toka kwa
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa Uchaguzi Damian Lubuva, mapema leo kwenye
ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jijini Dar es Salaam.
Mgombea Urais Kupitia chama cha TLP Bw. Macmillan Elifatio
Lyimo (Kushoto) akipokea nyaraka mbalimbali toka kwa Mwenyekiti wa Tume ya
Taifa Uchaguzi Damian Lubuva, mapema leo kwenye ofisi za Tume ya Taifa ya
Uchaguzi Jijini Dar es Salaam.
Lyimo (Kushoto) akipokea nyaraka mbalimbali toka kwa Mwenyekiti wa Tume ya
Taifa Uchaguzi Damian Lubuva, mapema leo kwenye ofisi za Tume ya Taifa ya
Uchaguzi Jijini Dar es Salaam.