MTOTO MIAKA 9 AOZESHWA KWA MZEE WA MIAKA 60

August 23, 2015
unnamed
Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9) akizungumza jana na Msaidizi wa Kisheria wa Kataa ya Makuyuni Jiji cha Makuyuni Wilaya ya Monduli Mkoa wa Arusha na Ofisa Maendeleo ya Jamii wa Kataa hiyo, Ruthi Mashambo (kulia), jinsi alivyoozeshwa kwa mwanaume mwenye miaka 60 (jina limehifadhiwa) kwa mahari ya Ng’ombe Mmoja na debe 2 za pombe kushoto ni Mwenyekiti wa Wasaidizi wa Kisheria Wilaya ya Monduli Mtandao wa Wasaidizi wa Kisheria Monduli (MWAWAKIMO) Ibrahim MelitaL aizer.
(PICHA NA KHAMISI MUSSA)
unnamedw
Mtoto Ester Meliyo Lukumay
Chanzo FullshangweBlog

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »