Mkurugenzi Mtendaji kanda ya
Afrika na Kati kutoka Millard Brown Charles Foster akiwasilisha
utafiti kuhusu teknolojia ya matangazo kwa bara la Afrika wakati wa
semina na wadau wa vyombo vya habari,kampuni za matanganzo na vyombo
vya habari leo jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Masuala ya Habari kutoka
MillwardBrown Anderzej Suski akijibu baadhi ya masuali kutoka kwa
wajumbe wakati wa mkutano wa masuala ya masoko ,matangazo na vyombo vya
habari leo jijini Dar es Salaam.
Wadau na wataalamu wa masuala ya
masoko na matangazo wakishiriki katika mada mbalimbali zilizokuwa
zikitolewa na watoa mada wakati wa mkutano uliowakutanisha wadau hao leo
jijini Dar es Salaam.
Wadau na wataalamu wa masuala
ya masoko na m atangazo wakifuatili mada mbalimbali zilizokuwa
zikitolewa na watoa mada wakati wa mkutano uliowakutanisha wadau hao leo
jijini Dar es Salaam.