Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizindua Mpangokazi
wa Kimataifa na Kanuni za Sheria ya kuzuia usafirishaji haramu wa
Binadamu, wakati wa hafla hiyo ya uzinduzi iliyofanyika leo Agosti 21,
2015 kwenye Viwanja vya Karimjee, jijini Dar es Salaam. Kulia ni Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mathias Chikawe (kulia) ni Mwenyekiti wa
Kamati ya Kimataifa ya kupambana na Usafirishaji Haramu wa Binadamu,
Kinemo Kihonamo. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Mpangokazi
wa Kimataifa na Kanuni za Sheria ya kuzuia usafirishaji haramu wa
Binadamu, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mathias Chikawe, baada
ya kuzindua rasmi Mpango kazi huo, kwenye Viwanja vya Karimjee jijini
Dar es Salaam, leo Agosti 21, 2015. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza wakati wa
uzinduzi wa Mpangokazi wa Kimataifa na Kanuni za Sheria ya kuzuia
usafirishaji haramu wa Binadamu, uliyofanyika leo Agosti 21, 2015 kwenye
Viwanja vya Karimjee, jijini Dar es Salaam. Picha na OMR
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,
Mhe. Mathias Chikawe, akizungumza kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi
kuzindua mpango kazi huo, wakati wa hafla ya uzinduzi iliyofanyika leo
Agosti 21, 2015 kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam. Picha
na OMR
Baadhi ya Wanafunzi waliohudhuria
hafla ya uzinduzi huo wakimsikiliza mgeni rasmi Makamu wa Rais, Dkt.
Bilal, wakati akihutubia. Picha na OMR
Baadhi ya Wanafunzi waliohudhuria
hafla ya uzinduzi huo wakimsikiliza mgeni rasmi Makamu wa Rais, Dkt.
Bilal, wakati akihutubia. Picha na OMR
Baadhi ya Wageni waalikwa
waliohudhuria hafla ya uzinduzi huo wakimsikiliza mgeni rasmi Makamu wa
Rais, Dkt. Bilal, wakati akihutubia. Picha na OMR
Baadhi ya Wageni waalikwa
waliohudhuria hafla ya uzinduzi huo wakimsikiliza mgeni rasmi Makamu wa
Rais, Dkt. Bilal, wakati akihutubia. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi
na wanafunzi waliohudhuria hafla hiyo, baada ya uzinduzi. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi
na wanafunzi waliohudhuria hafla hiyo, baada ya uzinduzi. Picha na OMR