Muonekano wa banda la PRIDE
Tanzania liliyopo katika Maonesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa Jijini
Dar-es-salaam maarufu kama Sabasaba.
PRIDE Tanzania ni shirika lisilo
la kiserikali linalotoa huduma za kifedha zenye masharti nafuu kwa
wafanya biashara ndogondogo na wakati ambalo lina lengo la kuondoa
umasikini nchini.
Wananchi wakiingia ndani ya banda
la PRIDE Tanzania kujionea bidhaa mbalimbali zinazotengenezwa na
wajasiriamali wanaowezeshwa na PRIDE Tanzania.
Mke wa waziri mkuu Mama Tunu Pinda
(kulia), akiwa ndani ya banda la PRIDE kujione bidhaa za wajasiriamali
kutoka Mikoa mbalimbali wanaowezeshwa na PRIDE (kushoto), Meneja Mkuu wa
PRIDE Tanzania, Shimimana Ntuyabaliwe wakifurahia jambo wakati
wakijionea bidhaa hizo.
Mjasiriamali, Venture Manase (kulia), akimuonesha Mke wa waziri mkuu Mama Tunu Pinda (kusho),moja ya gauni la wax alilolishona.
Mke wa waziri mkuu Mama Tunu Pinda
(kushoto) akiangalia gauni la batiki alipotembelea banda la kwetu
Afrika liliopo ndani ya banda la PRIDE (katikati), mjasiriamali, Rajabu
Kngalu, na kulia ni mjasiriamali Asha Sendege.
Mke wa waziri mkuu Mama Tunu Pinda
(kulia), akiangalia moja ya viungo vya chakula alipotembelea banda la
PRIDE (kushoto), Meneja Mkuu wa PRIDE Tanzania, Shimimana Ntuyabaliwe.
Mke wa waziri mkuu Mama Tunu
Pinda, na Meneja Mkuu wa PRIDE Tanzania, Shimimana Ntuyabaliwe
wakifurahia viungo vya chakula vinavyotengenezwa na mjasiriamali
Mwanamke, Mariam Kimbu.
Meneja Mkuu wa PRIDE Tanzania,
Shimimana Ntuyabaliwe akimkabidhi Mke wa waziri mkuu Mama Tunu Pinda
mfuko wenye machapisho na vijarida mbalimbali vya PRIDE Tanzania mara
baada ya kumaliza kutembelea banda hilo.
Baadhi ya wananchi waliotembelea
banda la PRIDE Tanzani wakipata maelezo namna ya kujiunga na vikundi vya
mikopo kutoka kwa Afisa Mwezeshaji, Edward Ng’wandu.
Mkurugenzi Mkuu
wa TANTRADE, Bi Jacqueline Maleko (katikati), akipata maelezo ya
virutubisho vinavyotengezwa kwa kutumia mbegu za matunda kutoka kwa
mjasiriamali ,alipotembelea banda la PRIDE Tanzania kujionea bidhaa hizo
(kushoto), Meneja wa Tawi la PRIDE Tanzania lililopo Hai Mkoa wa
Kilimanjaro, Bi. Elivictoria Bruno.
Picha ya Pamoja.
Wafanyakazi wa PRIDE Tanzania
wakiwa katika picha ya pamoja nje banda la PRIDE ambalo liko kwenye
Maonesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa Jijini Dar-es-salaam maarufu
kama Sabasaba.
Picha zote na Philemon Solomon-Fullshangweblog.