![]() |
| Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Moshi waliofika katika ukumbi wa Hindu Mandal kwa ajili ya kutoa maoni. |
![]() |
| Mkuu wa mkoa a Kilimanjaro,Leonidas Gama akizungumza katika mkutano huo ulioandaliwa na EWURA. |
![]() |
| Meneja fedha wa MUWSA ,Jpyce Msiru akichukua kumbukumbu wa mambo mbalimbali yaliyokuwa yakizungumzwa katika kikao hicho kulia kwake ni kaimu mkurugenzi wa MUWSA .Mhandisi Patrick Kibasa. |
![]() |
| Kamu mkurugenzi wa MUWSA,Mhandisi Patrick Kibasa akitoa hoja juu ya mapendekezo ya bei mpya ya utolewaji wa huduma mpya ya maji. |
![]() |
| Watumishi wa MUWSA,Idd Semkunde na Jacob Ollotu wakifutilia mkutano huo/ |
![]() |
| Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Leonidas Gama akiteta jambo na Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi (MUWSA) Sharry Raymond. |
![]() |
| Mhandsi ,Patrick Kibasa akitoa ufafanuzi juu ya mambo mbalimbali yaliyoulizwa na wananchi waliofika katika mkutano huo. |
![]() |
| Baadhi ya viongozi kutoka manispaa na watumiaji wa huduma ya maji wakifuatilia kwa makini. |
![]() |
| Baadhi ya wananchi waliohudhulia mkutano huo. |
![]() |
| Mmoja wa wananchi waliofika kutoa maoni yao aliyefahamika kwa jina la Maulid Darabu akiwasilisha maoni yake katika mkutano huo.Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kada ya Kaskazini. |














EmoticonEmoticon