WANANCHI WATOA MAONI JUU YA MUWSA KUOMBA KUPANDISHA BEI YA UTOLEWAJI WA HUDUMA YA MAJI KATIKA MJI WA MOSHI.

June 08, 2015
Viongozi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa
mazingira mjini Moshi,MUWSA wakifuatilia hotuba iliyokuwa ikitolewa na
mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Leonidas Gama (hayupo pichani) wakati wa
utolewaji wa maoni juu ya bei mpya ya huduma ya maji.
Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Moshi
waliofika katika ukumbi wa Hindu Mandal kwa ajili ya kutoa
maoni.
Mkuu wa mkoa a Kilimanjaro,Leonidas Gama
akizungumza katika mkutano huo ulioandaliwa na EWURA.
Mkukaguzi wa hesbu wa  ndani wa Mamlaka
ya Maji safi na maji taka mjini Moshi ,MUWSA ,Benson Maro pamojana na
Meneja rasilimali watu  wa MUWSA,Michael Konyaki wakichukua
kumbukumbu wa yale yaliyokuwa yakizungumzwa katika mkutano
huo.
Meneja fedha wa MUWSA ,Jpyce Msiru akichukua
kumbukumbu wa mambo mbalimbali yaliyokuwa yakizungumzwa katika kikao
hicho  kulia kwake ni kaimu mkurugenzi wa MUWSA .Mhandisi Patrick
Kibasa.
Kamu mkurugenzi wa MUWSA,Mhandisi Patrick
Kibasa akitoa hoja juu ya mapendekezo ya bei mpya ya utolewaji wa
huduma mpya ya maji.
Watumishi wa MUWSA,Idd Semkunde na Jacob
Ollotu wakifutilia mkutano huo/
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Leonidas Gama
akiteta jambo na Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi (MUWSA) Sharry
Raymond.
Mhandsi ,Patrick Kibasa akitoa ufafanuzi juu
ya mambo mbalimbali yaliyoulizwa na wananchi waliofika katika mkutano huo.
Baadhi ya viongozi kutoka manispaa na
watumiaji wa huduma ya maji wakifuatilia kwa makini.
Baadhi ya wananchi waliohudhulia mkutano
huo.
Mmoja wa wananchi waliofika kutoa maoni yao
aliyefahamika kwa jina la Maulid Darabu akiwasilisha maoni yake katika
mkutano huo.
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kada ya
Kaskazini.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »