Rais
Mstaafu awamu ya Pili Alhaji Hassan Mwinyi akitoa salamu zake kwa
wageni waalikwa wakati wa sherehe yake ya kuzaliwa ambapo jana alitimiza
umri wa miaka 90.Sherehe hiyo ilifanyika katika hoteli ya Sea Cliff na
kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali.
.Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza Rais Mstaafu awamu ya pili Alhaji
Ali Hassan Mwinyi kwa kutimiza miaka 90 wakati wa sherehe ya kuzaliwa
kwake iliyofanyika katika hoteli ya Sea Cliff jijini Dar es Salaam
jana.Kushoto ni Mkewe Mama Siti Mwinyi.
Rais
Mstaafu awamu ya pili Mzee Ali Hassan Mwinyi akiwa katika picha ya
pamoja na familia yake watoto na wajukuu zake wakati wa sherehe yake ya
kuzaliwa ambapo alitimiza umri wa miaka 90 jana katika hoteli ya Sea
Cliff jijini Dar es Salaa.