Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo leo asubuhi
nyumbani kwa Baba wa Taifa Hayati Julius Nyerere nyumbani kwake Msasani
jijini Dar es Salaam kufuatia kifo cha mwanaye John Nyerere kilichotokea
hivi karibuni.Aliyesimama pembeni ya Rais ni mdogo wa marehemu
Makongoro Nyerere.
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiifariji familia ya marehemu John Nyerere
nyumbani kwao Msasani jijini Dar es Salaam leo asubuhi.
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimfariji Mjane wa Baba wa Taifa, Mama Maria
Nyerere nyumbani kwake Msasani jijini Dar es Salaam kufuatia kifo cha
mwanaye John Nyerere kilichotokea juzi .Mwili wa Marehemu John Nyerere
rubani wa zamani wa ndege za kivita nchini aliyeshiriki kikamilifu vita
vya Uganda kati ya mwaka 1978 na 1979, unatarajiwa kusafirishwa leo
kwenda kijijini Butiama mkoani Mara kwa maziko.(picha na Freddy Maro)
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimfariji Mjane wa Baba wa Taifa, Mama Maria
Nyerere nyumbani kwake Msasani jijini Dar es Salaam kufuatia kifo cha
mwanaye John Nyerere kilichotokea juzi .Mwili wa Marehemu John Nyerere
rubani wa zamani wa ndege za kivita nchini aliyeshiriki kikamilifu vita
vya Uganda kati ya mwaka 1978 na 1979, unatarajiwa kusafirishwa leo
kwenda kijijini Butiama mkoani Mara kwa maziko.(picha na Freddy Maro)