JAJI AGUSTINO RAMADHANI AWAASA VIONGOZI WA DINI KUHUSU KULINDA AMANI YA NCHI

April 09, 2015
Rais wa Mahakama  ya Kimataifa ya Haki za Binadamu,Jaji Mkuu Mstaafu Agustino Ramadhani akisisitiza jambo wakati akiwasilisha mada ya jukumu la viongozi wa dini na kimila katika kulinda amani kwenye semina ya mahusiano ya dini na amani ya nchi iliyofanyika jana kwenye ukumbi wa Regal Naivera mjini hapa



Kushoto ni Askofu wa Jimbo Katoliki la Tanga,Anthony Banzi akisisitiza jambo na Rais wa Mahakama ya Kimataifa ya Haki za Binadamu  na Jaji Mkuu Mstaafu Agustino Ramadhani wakati wa semina ya mahusiano ya dini na amani ya nchi  iliyofanyika jana mjini hapa kulia ni Sheirh wa Mkoa wa Tanga,Ally Luhuchu

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »