Kushoto ni Askofu wa Jimbo Katoliki la Tanga,Anthony Banzi akisisitiza
jambo na Rais wa Mahakama ya Kimataifa ya Haki za Binadamu na Jaji Mkuu
Mstaafu Agustino Ramadhani wakati wa semina ya mahusiano ya dini na
amani ya nchi iliyofanyika jana mjini hapa kulia ni Sheirh wa Mkoa wa
Tanga,Ally Luhuchu |
EmoticonEmoticon